Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Saidi Meck Sadiki akiongea na watumishi wa hifadhi, wilaya na mkoa katika lango la Londorosi.
Mkuu wa Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro akiwasilisha taarifa fupi ya Hifadhi ya Kilimanjaro kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Saidi Meck Sadiki akiwa katika lango la Londorosi.
Watumishi wa Hifadhi ya Kilimanjaro, Wilaya ya Siha na Mkoa wa Kilimanjaro wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
Mkuu wa Idara ya Utalii Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro, Charles Ngendo akionyesha maeneo ya hifadhi kwenye ramani kufafanua taarifa ya Mkuu wa Hifadhi.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mh. Saidi Meck Sadiki (watatu kutoka kulia) na Mkuu wa Wilaya ya Siha Dk. Charles Mlingwa ( wa kwanza kulia) wakiwasili katika lango la Londorosi, Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro. Katikati ni mwenyeji wao Betrita Loibooki, Mkuu wa Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Vinywaji vyote hivyo mbele ya kila mtu? Si kila mtu angeulizwa anapenda kinywaji gani?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...