Daktari
Bingwa wa Upasuaji wa Mifupa Dk.Richald Gellman kutoka Califonia - San
Fransisco Marekani (kushoto), akiwaonesha kifaa Chuma, maalumu kinacho
tumika kufanya marekebisho ya mifupa iliyo pinda baada ya kuunga vibaya
au kutounga kabisa, madaktari mbalimbali kutoka nchi mbalimbali ,
Kenya, Burundi, Rwanda, Zambia, DRC Congo, Nigeri, Zimbabwe na wenyeji
wao Madaktari wa Taasisi hiyo wamehudhuria Mkutano huo utakaomalizika
Juni 3, 2016 , unaendelea katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa
Ubongo na Mifupa ya Fahamu Muhimbili (MOI)
Dar es Salaam leo. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Pichani ni baadhi ni vifaa
Madaktari Bingwa wakiwa katika chumba cha mikutano katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Moi
Mmoja wa Maktari Bingwa wa Taasisi hiyo mwenye miwani mbele Dk. Moonlight Mnyenye akiandika jambo wakati wa mkutano huo


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...