Shirika la ndege la RwandAir kuongeza ndege kubwa mbili aina ya Airbus A330 mwezi wa Tisa mwaka huu na kuanzisha safari zake mpya za Mumbai, Indina na Guanghzou - China. Shirika hilo linaendelea kupasua anga kwa kuongeza safari mpya, kusafiri kwa raha kwenye ndege zao mpya, pia kwa bei nafuu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...