Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Exim Tanzania wakishiriki usafi wa mazingira kuunga mkono kampeni ya siku 90 ya usafi iliyozinduliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw Paul Makonda jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Kampeni hiyo inalenga kutoa elimu kwa wakazi wa jiji hilo kuhusu umuhimu wa usafi wa mazingira ili kukabiliana na milipuko ya magonjwa.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...