SIMU.TV: Mbunge wa Kilwa Kaskazini Mhe. Vedasto ahoji mpango wa serikali wa kutengeneza barabara ya kiwango cha lami katika eneo la kihistoria la vita vya maji maji.     https://youtu.be/mN6_ACXc2YA

SIMU.TV: Je kwa nini serikali inachukua muda mrefu kurekebisha mishahara ya walimu baada ya kupandishwa vyeo? Mhe. Angela kairuki afafanua.     https://youtu.be/vBJhmrQSQq8

SIMU.TV: Haya hapa majibu ya serikali juu ya ushirikiano wa ofisi ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali katika ukaguzi wa taasisi za muungano.      https://youtu.be/b88YuNv7kdw

SIMU.TV: Mhe. Charles Mwijage atoa ufafanuzi juu ya mpango wa serikali kujenga viwanda katika mkoa wa Katavi na kutoa mafunzo ya ujasiliamli kwa vijana; https://youtu.be/ipc_QTZAxD0

SIMU.TV: Mbunge wa viti maalum Mhe.Upendo Peneza aitaka serikali kutekeleza ahadi yake ya kupunguza misamaha ya kodi hadi asilimia 1 ya GDP; https://youtu.be/AH0xHUvlWGM

SIMU.TV: Waziri wa katiba na sheria Dkt. Harrison Mwakyembe amesema serikali itaendelea kuratibu mfumo wa uimarishaji wa sheria za nchi.https://youtu.be/wJV91GwUSIA

SIMU.TV: Watoto 4 wa familia moja wilayani Same wameuawa kwa kukatwa mapanga wakiwa usingizini na mtu anayedhaniwa kuwa ni ndugu yao; https://youtu.be/wSny4bwyYjQ

SIMU.TV: Nini hatma ya wananchi wafanyabiashara  baada ya ujenzi wa masoko ya kimataifa kusimama Kyerwa.      https://youtu.be/0qVNQ5M1rmY

SIMU.TV: Sikiliza mpango wa serikali katika kutatua kero za maji safi na salama katika jimbo la Nanyamba na sehemu mbalimbali nchini; https://youtu.be/sy3sM1gCxYA  

SIMU.TV: Fahamu mpango wa serikali katika kukabiliana na kesi za unyanyasaji na ukatili dhidi ya watoto nchini; https://youtu.be/dOsctJ2YzGg

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...