Msemaji Mkuu Idara ya Uhamiaji nchini, Abas Irovya akizungumza na waandishi wa habari kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari - Maelezo jijini Dar es salaam, juu ya Idara hiyo kuanzisha utaratibu wa kuwatoza faini wahamiaji haramu pindi watakapokamatwa. Wengine pichani ni toka kushoto ni Mrakibu Msaidizi Uhamiaji, Rosemary Mkandala,Afisa wa Divisheni, Usimamizi na Udhibiti Mipaka, Wilson Bambaganya pamoja na Mkaguzi wa Uhamiaji, LesileJames Mbotta.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 06, 2016

    Uamuzi huo ni wa kupongezwa, ilikuwa tunapoteza raslimali nyingi kuwatunza hapa nyumbani. Nchi nyingine waliona haya mapema na wakaanza utaratibu huu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...