Hatimae mdau mkazi wa Wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa, amevuta rasmi jiko a.k.a mwandani wake baada ya kukaa vikao kwa muda mrefu na hatimae mambo yamejipa leo. hizi ni baadhi ya taswira mbalimbali za shamrashamra za harusi hiyo ya kukata na shoka kama uonavyo hapo juu katika taswira ikiwa ni bwana na bibi harusi wakiongoza msafara kwa kuimbiwa nyimbo kedekede za kuwapongeza wawili hao.PICHA ZOTE NA MR.PENGO - MMG RUKWA.
Dereva wa Boda boda akiwawahisha Wasindikizaji maarufu kwa jina la Wasafisha njia huku shamra shamra zikiendelea..
Mambo yamenoga barabarani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 03, 2016

    Nimeipenda sana. Simple and clear.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 04, 2016

    Imenikumbusha mbali sana bi harusi amepakiwa kwenye baiskeli

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 04, 2016

    priceless!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...