Balozi wa Tanzania nchini Malaysia Mhe. Dkt Ramadhani Dau akiingia katika kasri ya Istana Negara jijini Kuala Lumpur kukabidhi hati zake za utambulisho kwa mfalme na mkuu wa nchi hiyo Abdul Halim Mu'adzam Shah mapema mwezi huu.
Balozi wa Tanzania nchini Malaysia Mhe. Dkt Ramadhani Dau akiwa katika kasri ya Istana Negara jijini Kuala Lumpur tayari kukabidhi hati zake za utambulisho kwa mfalme na mkuu wa nchi hiyo Abdul Halim Mu'adzam Shah mapema mwezi huu.
Balozi wa Tanzania nchini Malaysia Mhe. Dkt Ramadhani Dau akikabidhi hati zake za utambulisho kwa mfalme na mkuu wa nchi hiyo Abdul Halim Mu'adzam Shah katika kasri ya Istana Negara jijini Kuala Lumpur mapema mwezi huu.
Balozi wa Tanzania nchini Malaysia Mhe. Dkt Ramadhani Dau akikabidhi hati zake za utambulisho kwa mfalme na mkuu wa nchi hiyo Abdul Halim Mu'adzam Shah katika kasri ya Istana Negara jijini Kuala Lumpur mapema mwezi huu. Picha kwa hisani ya Ubalozi wa Tanzania Malaysia.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...