Na Baraka Chibiriti
Barabara yetu mpya yaanza ajali, gari ndogo limeparamia  kwenye lori, na kusababisha lori kuchochora nje ya barabara maeneo ya Msalato, nje kidogo ya mji wa Dodoma hii leo. Wa gari ndogo ameumia sana na kukimbizwa hospitali ya Mkoa wa Dodoma. Inasemekana ni Gwamaka Bukuku ambaye ni kaka yake  na Marehemu Mpoki Bukuku ambaye amezikwa juzi tu, nyumbani kwao Msalato - Dodoma. 
 Gari dogo lililoparamia lori 
Majeruhi akiopolewa kabla ya kukimbizwa hospitali
 Lori lililohusika na ajali hiyo
 Eneo la tukio
Majeruhi baada ya kupata matibabu hospitali ya mkoa Dodoma. Hali yake inaendelea vyema ingawa ana maumivu makali baada ya kuvunjika mkono wa kuume na mguu wa upande huo umeumia sana. Pia ana maumivu makali kiunoni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...