Katika kuelekea mwisho wa mwaka 2016 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2017, Kampuni ya EY Tanzania, imewakutanisha pamoja wafanyakazi wake katika hafla ya kufunga mwaka iliyofanyika mwishoni mwa wiki, Katika hoteli ya Hyatt Regency, Jijini Dar es salaam.

Hafla hiyo, iliyoambatana na zoezi la utoaji wa tuzo kwa wafanyakazi bora wa mwaka 2016, ilinogeshwa pia na burudani ya muziki kutoka Bendi ya Malaika chini ya Mwanamuziki Christian Bella anaetamba na nyimbo zake kadhaa.
Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni ya EY Tanzania, Joseph Sheffu akizungumza katika hafya hiyo, ambapo aliwapongeza wafanyakazi wake hao kwa namna wanavyofanya kazi kwa bidii na kujituma, na kuwataka kuongeza bidii zaidi kwa mwaka ujao.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya EY Tanzania, wakijiandaa kufungua shampein katika katika hafla ya kufunga mwaka iliyofanyika mwishoni mwa wiki, Katika hoteli ya Hyatt Regency, Jijini Dar es salaam.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya EY Tanzania, wakigonganisha glass ikiwa ni ishara ya kutakiana heri ya kufunga mwaka wa kazi katika hafla ya kufunga mwaka iliyofanyika mwishoni mwa wiki, Katika hoteli ya Hyatt Regency, Jijini Dar es salaam.
 
Mwanamuziki Christian Bella na Bendi yake ya Malaika wakitoa burudani kwa Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya EY Tanzania, katika hafla ya kufunga mwaka iliyofanyika mwishoni mwa wiki, Katika hoteli ya Hyatt Regency, Jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...