Mkuu wa Masoko na Usambazaji wa Vodacom Tanzania Kanda ya Pwani, Harrieth Koka (Kushoto) akimkabidhi hundi ya Tsh. Milioni 1/- kwa mchezaji wa Ndanda FC, Riphat Hamis aliyeibuka mchezaji bora wa ligi kuu mwezi uliopita kabla ya kuanza kwa mchezo wa timu yake na Simba SC hapo jana.Simba ilishinda 2-0(Na Mpiga picha wetu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...