Mhe Mussa Azzan Zungu akisalimiana na Spika wa Bunge la Kenya,Justin Muturi wakati wa Mkutano wa CPA unaofanyika London Uingereza
Ndg Saidi Yakubu,Mratibu wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola Barani Afrika akitoa taarifa wakati wa Mkutano wa Chama cha Wabunge Duniani unaofanyika London Uingereza.Mkutano huo unashirikisha Wabunge 700 toka nchi 57 za Jumuiya ya Madola Duniani


Ujumbe wa Bunge la Tanzania katika Mkutano wa Chama cha Wabunge Duniani.Ujumbe huo wa Wabunge wanna unaongozwa na Mhe Mussa Azzan Zungu anaemuwakilisha Mhe Spika.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...