Bendi mpya ya muziki wa taarab iitwayo Yamoto Taarab jana usiku katika ukumbi wa maraha wa Dar Live ulioko Mbagala Zakhem jijini Dar es salaam ulipagawisha umati wa mashabiki ambao pamoja na muziki huo walijimwaya kwa muziki wa vikundi mbalimbali vya mchiriku na muziki wa kizazi kipya.
Kundi la Yamoto likiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wao, Saidi Fela.
Mwanamuziki wa Yamoto Taarab, Fatuma Mcharuko, akitunzwa pesa na shabiki.
Leila Rashid (kushoto) akiimba huku Mohamed Mauji akiungurumisha gitaa.
Omar Tego akiimba huku mashabiki wakimtunza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...