Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga  Firbato Sanga akizungumza na vijana wa Umoja wa  endesha piikipiki (Bodaboda) zaidi ya 1580 juu ya kuwataka waendesha Pikipiki hao kuzingatia mafunzo waliyoyapata ikiwamo kufuata sheria za barabarani na kuzingatia sheria za  barabarani na kanuni, katika hafla ya kuwapa vyeti na leseni iliyofanyika  mkoani Pwani. Picha zote na Emmanuel Massaka, Globu ya jamii.
 Mbunge wa  Jimbo la  Mkuranga, Abdallah Ulega akizungumza na vijana wa Umoja wa  waendesha piikipiki (Bodaboda) zaidi ya 1580 na kuwataka kufanya Kazi hiyo Kwa uaminifu mkubwa na zaidi kuona ndio sehemu yao ya ajira kama zilivyo ajira zingine, katika hafla ya kuwapa vyeti na leseni mkoani Pwani.
 Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Mkuu wa Usalama barabarani Wilaya ya Mkuranga,Hamidu Mtianjola juu ya kufanya Kazi zao kihalali,ambapo aliwapongeza kwakuweza kuhitimu mafunzo hayo ya uendeshaji wa Pikipiki na miongoni mwao kupata leseni.
 Waendesha piikipiki (Bodaboda) Wakichangai damu katika hafla ya kuwapa vyeti na leseni mkoani Pwani.Picha na Emmanuel Massaka Globu ya Jamii.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...