Leo Jumanne,Septemba 5,2017

Asubuhi Saa 2:00 -300: Chai nyumbani kwa Marehemu, Mbezi Msigani.

Asubuhi Saa 3:00- 5:00:Ibaada Kanisa la KKT Mbezi Luisi,lilipo Kibanda cha Mkaa,Mbezi.

Saa 5:00-6:00:Msafara kwenda Viwanja vya Mnazi Mmoja.

Mchana Saa 6:00-8:00: Hafla ya kuaga mwili Mnazi Mmoja

Mchana Saa 8:00-8:20:Kuelekea Kinondoni Makaburini

Mchana Saa 8:20-9:00:Maziko Kinondoni Makaburini.

Jioni Saa 9:00-10:00:Kurejea nyumbani kwa Marehemu Mbezi Msigani

Kwa Mawasiliano zaidi:

Stella Nyemenohi 0758295529
Joyce Mmasi 0714233929
 Sanduku lenye mwili wa Marehemu Muhingo Rweyamamu,nyumbani kwake tayari kwa ratiba ya kuagwa mapema leo katika viwanja vya Mnazi mmoja na baadae maziko yake kufanyika katika makaburi ya Kinondoni,jijini Dar Es Salaam
Pichani kulia Waziri wa Habari,Sanaa,Utamaduni na Michezo Mh.Dkt Harrison Mwakyembe akizungumza na ndugu wa marehemu jana usiku nyumbani kwa marehemu Muhingo kwa ajili ya kufariji wafiwa.
  Waziri wa Habari,Sanaa,Utamaduni na Michezo Mh.Dkt Harrison Mwakyembe akisaini kitabu cha maombolozo jana usiku nyumbani kwa marehemu Muhingo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...