Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mussa Sima (Mwenye tracksuit) akipata maelezo ya maendeleo ya ujenzi  wa Ofisi ya Makamu wa Rais katika Mji wa Serikali kutoka kwa Mhandisi Simeo Machibya ambae ni Meneja Msimamizi wa Mradi kutoka Vikozi vya Ujenzi.  Sima ameridhishwa na kasi ya Ujenzi huo na kumwagiza mkandarasi kujenga kwa wakati, ubora na kuzingatia viwango vinavyokubalika.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mussa Sima (Mwenye tracksuit) akishiriki katika shughuli za ujenzi kwa kuchanganya mchanga katika ujenzi wa Ofisi ya Makamu wa Rais unaondelea katika Mji wa Serikali Ihumwa, Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...