Wafanyabiashara ndogo ndogo wakiendelea na biashara zoa zinazo wasaidia kujipatia riziki ya kila siku katika makutano ya Mtaa wa Utete na Uhuru Ilala jijini Dar es Slaam, Soko hilo limekuwa maarufu kwa uuzaji wa vyakula mbalimbali kwa bei nafuu kwa mlaji wa kawaida.
Wafanyabiashara ndogo ndogo wakiendelea na biashara zoa zinazo wasaidia kujipatia riziki ya kila siku katika makutano ya Mtaa wa Utete na Uhuru Ilala jijini Dar es Slaam, Soko hilo limekuwa maarufu kwa uuzaji wa vyakula mbalimbali kwa bei nafuu kwa mlaji wa kawaida.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...