Mjumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania, Mhe. Dkt. Sware Semesi (kulia) akizungumza na wajumbe wa kamati hiyo (hawapo kwenye picha) wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania iliyofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bunge na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Mussa Azzan Zungu
 Mwenyekiti wa Bunge na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Mussa Azzan Zungu akifungua semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania iliyofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
 Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Dkt. Emmanuel Mallya akiwasilisha maada wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania iliyofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
 Mjumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania, Mhe. Zainab Vullu akizungumza wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania iliyofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kulia ni Mjumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania, Mhe. Mohamed Mchengerwa
Wajumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania, Sekretarieti ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika tawi la Tanzania pamoja na wawezeshaji wakiwa katika picha ya pamoja baada ya semina ya kujengewa uwezo iliyofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...