Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitembelea banda la maonesho la Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) yanayoenda sambamba na Kongamano la uwekezaji katika Mkoa wa Dodoma yanayofanyika katika viwanja vya ukumbi wa CCM ujulikanao kama CCM Convention Center, anayetoa maelezo kwa Waziri Mkuu ni mtaalam wa mambo ya Jiolojia Ambaliche Tamambele kutoka taasisi ya Jiolojia. Moja ya jukumu la Taasi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania ni kukusanya, kuchambua, kutafasiri na kutunza takwimu na taarifa mbalimba za jiosayansi kwa maana ya Jiolojia, Jiokemia , na Jiofizikia pamoja na upatikanaji wa madini nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...