Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo (kulia) na Mkuu wa mauzo wa Vodacom Kanda ya Kaskazini, Brigita Stephen wakizindua duka la Vodacom litakalowahudumia wateja eneo la Kwamrombo jijini Arusha, wa tatu kushoto ni mdau wa Vodacom Bakari Fungo.
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo (kulia), Mkuu wa mauzo wa Vodacom Kanda ya Kaskazini, Brigita Stephen (wa pili kulia), mdau wa Vodacom Bakari Fungo na mkewe wakifurahi baada ya kuzindua duka la Vodacom litakalowahudumia wateja eneo la Kwamrombo jijini Arusha.

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo (kushoto) akiwa pamoja na Mkuu wa mauzo wa Vodacom Kanda ya Kaskazini Brigita Stephen(kulia) wakati wa uzinduzi wa duka la Vodacom eneo la Kwamrombo jijini Arusha.
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo (katikati) akimsikiliza Mkuu Vodacom Kanda ya Kaskazini, Brigita Stephen (kushoto) wakati wa uzinduzi wa duka la Vodacom eneo la Kwamrombo jijini Arusha, kulia ni mdau wa Vodacom Bakari Fungo.


Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo (katikati) akifungua chupa ya Champagne wakati wa uzinduzi wa duka la Vodacom eneo la Kwamrombo jijini Arusha, wa pili kulia ni mdau wa duka hilo Bakari Fungo na kushoto ni Mkuu wa mauzo wa Vodacom Kanda ya Kaskazini, Brigita Stephen.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...