Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela alipotembelea banda la benki hiyo lililopo katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, kunakofanyika mkutano mkuu wa SADC, alipofika kufungua Maonyesho ya  Awamu ya Nne ya Wiki ya Viwanda kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) . Katikati ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki hiyo, Tully Mwambapa. Benki ya CRDB ni mmoja wa wadhamini wakuu wa mkutano wa SADC 2019.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...