Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Waziri Mkuu wa Azerbaijan, Ali Ahmadov wakati alipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Heydar Aliyev, Oktoba 25, 2019 amabako atamwakilisha Rais, Dkt. John Pombe Magufuli kwenye mkutano wa Nchi zisizofungamana na upande wowote unaofanyika Baku nchini humo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Home
HABARI
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI NCHINI AZERBAIJAN KUMWAKILISHA JPM MKUTANO WA NCHI ZISIZOFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...