Na Yassir Simba, Michuzi Tv

Mabingwa watetezi wa Tanzania bara Simba Sports Klabu imemtangaza Sven Vanderbroeck raia wa Ubeligiji kuwa kocha wake mkuu akichukua nafasi ya mbelegiji aliyetimuliwa hivi karibuni.

Vanderbroeck amewahi kuifundisha timu ya taifa ya Zambia pia alishinda ubingwa wa Afrika( AFCON) akiwa kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Cameroon mwaka 2017.Kocha huyo atakuwa akisaidiwa na  Selemani Matola aliyetambulishwa jana.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...