Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amesema kiasi Cha shilingi Milioni 20 na mabati 300 ambazo zilitolewa kwa shule 107 za Kampeni ya shule ni choo zamewaafikia walengwa.
Akitoa tathimini ya ziara yake katika shule hizo alisema kuwa hamasa katika vijiji kuhusu Kampeni hiyo ni kubwa
"Nimezifikia shule zote ambazo Kampeni hii inafanyika tumewaongezea nguvu kwa kuwapatia fedha taslimu na mabati,"alisema Waryuba
Fedha hizo zimetolewa na RC wa Mtwara Gelasius Byakanwa katika Kampeni yake ya Shule ni choo yenye lengo la kuondoa tatizo la matundu ya Choo kwa shule za Msingi na Sekondari .
Akitoa tathimini ya ziara yake katika shule hizo alisema kuwa hamasa katika vijiji kuhusu Kampeni hiyo ni kubwa
"Nimezifikia shule zote ambazo Kampeni hii inafanyika tumewaongezea nguvu kwa kuwapatia fedha taslimu na mabati,"alisema Waryuba
Fedha hizo zimetolewa na RC wa Mtwara Gelasius Byakanwa katika Kampeni yake ya Shule ni choo yenye lengo la kuondoa tatizo la matundu ya Choo kwa shule za Msingi na Sekondari .
Wananchi waliendelea na ujenzi wa matundu ya vyoo
Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba akikabidhi shilingi Milioni moja kwa mwalimu Mkuu wa Mivanga
Ofisa Maendeleo ya Jamii Aloyce Masau akisaidia kuwashushia zege mafundi
DC Waryuba akiwa na afisa Mipango Kassim Lihumbo wakisaidia kazi katika Kampeni ya shule ni choo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...