Na.Khadija seif, Michuzi TV
 
KAMPUNI ya Startimes imepata nafasi na kibali cha kurusha Mashindano ya kombe la FA(Emirates cup) na ngao ya jamiii moja kwa moja kutoka nchini uingereza. 
 
Akizungumza na waandishi wahabari Meneja Masoko wa Kampuni hiyo David Malisa amesema imewasogezea wapenzi wa mpira karibu na Mashindano hayo hayo taruka mubashara kupitia ving'amuzi vyao kwa bei nafuu.
 
 "Mashindano hayo yataruka mubashara kwa lugha ya kiswahili hivyo tumefungua mwaka kwa mambo mazuri na mengi mazuri yatakuja kupitia King'amuzi cha Startimes," Hata hivyo amefafanua zaidi kuwa watanzania wengi ni wapenzi wa mpira wa miguu hivyo basi wamezingatia katika kuhakikisha wateja wanapata burudani ya mpira ya michuano ya kimataifa kama coppa italia na bundesliga na ligi za ulaya Kama UEFA na Euro 2020. "Kombe Hilo la Emirates FA raundi ya 3 yataanza kurushwa kuanzia januari 4 mwaka huu ," 
  Meneja Masoko wa Kampuni ya Startimes
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...