Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki EALA akitoa mada kwenye Kongamano hilo
Meza kuu wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa
Jaji Mstaafu wa mahakama ya Rufani na Mwenyekiti Mstaafu wa TAWLA Eusebia Munuo akitoa Mada na hotuba kwenye Kongamano hilo.
Wanawake wakifuatilia mada mbalimbali kwenye maadhimisho ya siku yao inaotarajiwa kuazimishwa kesho kote ulimwenguni.
Tunafuatilia mada kwa makini
Mada zikifuatiliwa kwa umakini mkubwa kwenye Kongamano hilo la maadhimisho ya siku ya wanawake kwenye ukumbi wa makao makuu ya Jumuiya ya Afrika mashariki jijini Arusha Jana picha na Ahmed Mahmoud Arusha
Kinamama wafanyabiashara wa mipakani kwenye nchi za Afrika Mashariki walioshiriki Kongamano la kuazimisha siku ya wanawake duniani wakitoa Taulo za kike kwenye shule ya Msingi Meru jijini Arusha Taulo hizo pia zimetolewa kwa shule za jamii ya wafugaji kama sehemu ya maadhimisho hayo picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
Sehemu ya kinamama na wanafunzi wa kike wa shule mbalimbali za msingi na Serikali wakiwa kwenye maandamano ya kuazimisha siku ya wanawake ambayo kilele chake kinaazimishwa kesho
Sehemu ya maandamano hayo kama ilivyokutwa na kamera ya matukio jijini Arusha.
Sehemu ya msaada wa Taulo la kike ambazo zimetolewa ikiwa sehemu ya maadhimisho hayo.
Wanafunzi wakishudia masaada huo wa Taulo za kike ikiwa ni sehemu ya maadhimisho hayo ya siku ya wanawake duniani.
Brass band ikiongoza maandamano ya wanaweke kutoka nchi za Afrika Mashariki na baadae Kongamano kwenye makao makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha
Meza kuu kwenye Kongamano hilo
Wanafunzi wa kike kutoka shule mbalimbali za Jiji la Arusha wakifuatilia mada mambalimbali zilizotolewa kwenye Kongamano hilo Jana jijini Arusha.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...