RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati akilifungua Jukwaa la Kumi la Biashara Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar, na kuwashirikisha Wadau wa Sekta Binafsi na za Umma  na Wafanyabiashara Zanzibar .
 KATIBU Mkuu Kingozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi. Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Jukwaa la kumi (10) la Biashara Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
 WAZIRI wa Biashara na Viwanda Zanzibar. Mhe. Balozi Amina Salum Ali akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa kumi wa Jukwaa la Biashara Zanzibar, uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh. Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
 BAADHI wa  Wajumbe wa Mkutano wa Jukwaa la Kumi (10) la Biashara Zanzibar, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akihutubia wakati wa ufunguzi  wa Mkutano wa Julkwaa la 10 la Biashara Zanzibar , lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
 BAADHI ya Mawaziri wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Anayeshughulikia Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Azzan Zungu na Naibu Waziri wa  Mifugo na Uvuvi Mhe Abdalla Ulega. wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Jukwaa la kumi la Biashara Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia (hayupo pichani)
 WAJUMBE wa Baraza la Taifa la Biashara Zanzibar  wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Mkutano wa Jukwaa la kumi la Biashara Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akihutubia  na kulifungua katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
 GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania Profesa Florens Luoga  na kushoto Naibu Gavana wa Benki Kuu Utawala na Udhibiti wa Ndani.(BOT)  Ndg.Julian Raphael Banzi  na Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Hassan Khamis Hafidh, wakifuatilia ufunguzi wa mkutano wa Jukwaa la  kumi la Biashara Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) akihutubia na kufungua jukwaa hilo, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil  Kikwajuni Jijini Zanzibar.
 BAADHI yac Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar , wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Jukwaa la kumi la Biashara Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akihutubia na kulifungua katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdullwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar (ZNCC) Ndg. Toufiq Salim Turky, akiwasilisha taarifa ya Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar wakati wa ufunguzi wac Jukwaa la Kumi la Bishara Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
 WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa Jukwaa la Kumi la Biashara Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar, lililofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi. Mhe.Dk. Ali Ali Mohamed Shein.
 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Anayeshughulikia Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Azzan Zungu. Akizungumza wakati wa mkutano wa kumi wa Jukwaa la Biashara Zanzibar, uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
 KATIBU  Mtendaji wa Baraza la Taifa la Biashara Zanzibar. Ndg. Bakari Ali Bakari akiwasilisha Taarifa ya Braza wakati wa Jukwaa la Kumi la Biashara Zanzibar,lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
 MKURUGENZI Mtendaji wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar (ZNCC) Ndg. Hamad Omar Hamad, akiwasilisha taarifa ya Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar, wakati wa mkutano wa Jukwaa la Kumi la Biashara Zanzibar linalofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.
 MUWASILISHAJI Mada kutoka Tume ya Mipango Zanzibar.Ndg.Salim Saad, akiwasilisha Mada kuhusia na Uchumi wa Bluu (Blue Economy) wakati wa mkutano wa Kumi wa Jukwaa la Biashara Zanzibar linalofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
 BAADHI Wajumbe wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar wakifuatilia ufunguzi wa Mkutano wa Kumi wa Jukwaa la Biashara Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza  la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiangalia Ngoma aina ya Kibati wakati alipowasili katika viwanja vya Ukumbi wa Sheikh Idriusa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar, kuhudhuria  ufunguzi wa Mkutano wa Kumi wa Jukwaa la Jukwaa la Biashara Zanzibar,(kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar.Mhe. Balozi Amina Salim Ali  na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Wilaya ya Mjini Bi. Marine Joe Thomas.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akielekea katika ukumbi wa mkutano wa Sheikh Idrisa Abdulwakil  Kikwajuni Jijini Zanzibar.(kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Balozi Amina Salum Ali, Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Hassan Khamis Hafidh  na  (kulia kwa Rais) Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja. Bi, Marine Joe Thomas.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...