Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Uwekezaji ya UTT AMIS wakielekea Jengo la Wodi ya Watoto katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam, kutoa msaada wa vifaa tiba kwa watoto wanaougua saratani waliolazwa kwenye wodi hiyo, ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani. (Picha na Francis Dande).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...