Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Uwekezaji ya UTT AMIS wakielekea Jengo la Wodi ya Watoto katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam, kutoa msaada wa vifaa tiba kwa watoto wanaougua saratani waliolazwa kwenye wodi hiyo, ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani. (Picha na Francis Dande). 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...