Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la mradi wa shamba la ufuta la Kampuni ya Haya Modern Agriculture Limited lililopo Mkoamzi wilayani Korogwe, Machi 5, 2020. Kushoto ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba  na wa tatu kushoto ni Mkurugenzi wa  shamba hilo, Mohamad Zioud. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipowasili kwenye shamba la ufuta la Haya Modern Agriculture la Mkomazi wilayani Korogwe kweka jiwe la msingi la mradi huo, Machi 5, 2020.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua  mtambo wa kaupanda mazao wakati alipotembelea  shamba la ufuta la Kampuni ya Haya Modern  Agriculture Limited lililopo eneo la mkoamazi wilayani Korogwe, Machi 5, 2020. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martine Shigela na wa tatu kushoto ni Mkurugeni wa shamba hilo, Mohamad Zioud.
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama shamba lililoandaliwa kwa ajili ya kilimo cha  ufuta wakati alipotembelea shamba la kampuni ya  Haya Modern Agriculture Limited la Mkoamazi wilayani Korogwe, Machi 5, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...