OFISI YA RAIS
TUME
YA UTUMISHI WA UMMA
SALAMU
ZA RAMBIRAMBI
Ofisi
ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma (PO PSC) tunaungana na Watanzania wote katika
kuomboleza msiba mzito wa Taifa wa mpendwa wetu Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Mhe.
Benjamin William Mkapa, kilichotokea usiku wa kuamkia siku ya Ijumaa, tarehe 24
Julai, 2020.
Mwenyezi
Mungu Ailaze Roho ya Marehemu, Benjamin William Mkapa mahali pema peponi.
TUTAKUKUMBUKA
DAIMA
1938-2020
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...