








Mwanamitindo
wa Kimataifa ndani na nje ya nchi ya Tanzania Flaviana Matata akiwa na
Mbunnifu wa mavazi mahiri nchini Ally Remtullah wakiwa wamepozi kwenye
red carpet,tayari kushuhudia usiku wa show ya “IAM ZUCHU”.
Khadija Kopa kwenye show ya Zuchu

Khadija Kopa kwenye show ya Zuchu

Msanii
na Mjasiliamali maarifu kwa jina la Shilole akifurahia jambo na Msanii
Mwenzake almaarufu kwa jina la Baba Levo wakato wa onesho kambambe ya
msani Zuchu ndani ya ukumbi wa Mlimani City jijini Dar.
Wema Sepetu kwenye show ya Zuchu


Muonekano wa Queen Darleen kwenye show ya Zuchu
Muonekano wa Zuchu kwenye show yake wapongezwa kila kona





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...