Mrajisi wa vyama vya Ushirika, Dkt. Benson Ndiege, akizungumza kwenye banda la Vodacom katika viwanja vya Nyakabindi kwenye maonesho ya nanenane,wakati wa uzinduzi wa mfumo wa M-Kulima unaowawezeaha wakulima kuwasiliana na kufanya miamala kwa kutumia mtandao wa Vodacom. Pembeni ni naibu Mrajisi, Charles Malunde na Mkuu wa mauzo wa Vodacom Tanzania PLC Kanda ya Ziwa, Ayubu Kalufya(kulia).Mkuu wa Mauzo Vodacom Tanzania PLC Kanda ya Ziwa, Ayubu Kalufya akizungumza wakati wa uzinduzi wa mfumo wa M-Kulima unaowawezesha wakulima kuwasiliana na kufanya miamala,mfumo huo umezinduliwa kwenye viwanja vya Nyakabindi mkoani Simiyu kwenye maonesho ya nanenane, Mrajisi wa vyama vya Ushirika Dk Benson Ndiege (kushoto) Naibu Mrajisi Charles Malunde.Wakulima wakifuatilia hotuba za uzinduzi wa mfumo wa Vodacom M-Kulima unaowawezesha kufanya miamala na kuwasiliana kwa urahisi, mfumo huo umezinduliwa kwenye viwanja vya nanenane Nyakabindi mkoani Simiyu.Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC wakiwa katika picha ya pamoja na Mrajisi baada ya uzinduzi wa M-Kulima

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...