Meneja ruzuku na mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald akizungumzia namna mradi wa Vodacom Instant Schools unavyounganisha intaneti na kusaidia wanafunzi katika maeneo ya pembezoni kujisomea wakiwa nje ya shule lakini pia jinsi ambavyo program hii inaunganisha shule zilizoko vijijini (School Connectivity).
Wengine pichani ni Mhandisi kutoka UCSAF Ritha Kimolo (kushoto) na  Msaidizi wa  Mradi  kutoka ISOC Peter  Mmbando.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...