RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Balozi Seif Ali Iddi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mstaaf, alipofika nyumbani kwake Kama Wilaya ya Kaskazini B Unguja kumtembelea na kuzungumza nae leo 12-2-2021.(Picha na Ikulu)RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Balozi Seif Ali Iddi Makamu wa Pili wa Rais wa Mstaaf, alipofika kumtembelea na kuzungumza nae nyumbani kwake Kama Wilaya ya Kaskazini B Unguja.(Picha na Ikulu)
Home
HABARI
ZANZIBAR
RAIS WA ZANZIBAR ALHAJ DK. HUSSEIN ALI MWINYI AMTEMBELEA BALOZI SEIF ALI IDDI NYUMBANI KWAKE KAMA ZANZIBAR.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...