Ubalozi wa Tanzania mjini muscat Oman umefungua maombolezi ya kifo cha Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Marehemu Maalim Seif Sharif Hamad. Maombolezi hayo yalifanyika kwa muda wa siku mbili huko nyumbani kwake Mh.Balozi Abdallah Kilima na viongozi na mabalozi wa  nchi mbali mbali kuhudhuria  kwenye maombolezi hayo.

Bw. Ahmed Ali Amri akisaini katika kitabu cha maombolezo
Bw. Ahmed Ali Amri akiwa na balozi wa Tanzania nchini Oman Mh. Abdallah Kilima baada ya kusaini katika kitabu cha maombolezo
Bw. Sayyid Mohamed Salim Al Said kutoka kwenye familia ya Ufalme wa Oman akisaini kitabu cha Maombolezo
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...