Kamera ya Michuzi Tv leo Novemba 11, 2021 imenasa Mfanyabiashara mdogowadogo waa
Mbogamboga kwenye kituo cha mabasi Ilala eneo la Karikaoo wilaya ya Ilala
jijini Dar es Salaam akiandaa biashara yake leo kama anavyoonekana
pichani bei ya fungu moja la mbogamboga ni shilingi 500 hadi 1000 inategemea na ukubwa wa fungu.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Kamera ya Michuzi Tv leo Novemba 11, 2021 imenasa Mfanyabiashara mdogowadogo waa
Mbogamboga kwenye kituo cha mabasi Ilala eneo la Karikaoo wilaya ya Ilala
jijini Dar es Salaam akiandaa biashara yake leo kama anavyoonekana
pichani bei ya fungu moja la mbogamboga ni shilingi 500 hadi 1000 inategemea na ukubwa wa fungu.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...