Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Abeid Amani Karume na baadae atazindua matokeo ya utafiti wa watu wenye uwezo wa kufanya kazi 2020/21, kwenye ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip, Novemba 24, 2021. Kulia ni Mkewe Mary Majaliwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...