Mkuu wa Wilaya ya Siha Mhe.Thomas Apson   Mei 9,2022 ametoa kauli kwa Madereva wote Wilayani  Siha kuendesha magari kwa kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuepuka mkono wa
sheria.

Wito huo ametoa katika eneo la Datchi Kona ambapo ajali ya gari kumgonga mtoto wa  wa darasa la tatu anayesoma  katika shule ya msingi Gararagua.

Mhe  Mhe.Thomas Apson ametoa agizo kwa meneja wa TANROAD Mkoa wa Kilimanjaro kufika eneo la tukio  tarehe 10 Mei,2022 ili kuona namna ya kuweka matuta katika eneo hilo ambalo ajali za watu kugongwa na magari zimekuwa zikitokea mara kwa  mara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...