Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali mara baada ya kuitembelea na kujionea kazi za uzalishaji wa malighafi ya chuma, bati na bomba katika Kiwanda cha Roofings Ltd, Kampala nchini Uganda tarehe 11, Mei, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mwenyekiti ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Kutengeneza Mabati na Mabomba (roofings ltd) Dkt. Sikander Lalani wakati akitembelea Kiwanda hicho kujionea kazi za uzalishaji wa malighafi ya chuma, bati na bomba, Kampala nchini Uganda tarehe 11, Mei, 2022.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwenyekiti ambaye pia Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Kutengeneza Mabati na Mabomba (roofings ltd) Dkt. Sikander Lalani wakati akitembelea na kujionea kazi za uzalishaji wa malighafi ya chuma, bati na bomba katika Kiwanda hicho, Kampala nchini Uganda tarehe 11, Mei, 2022.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...