Mkuu wa kitengo cha mawasiliano cha Vodacom Group, Mwamvita Makamba akizungumza kwenye kongamano la pili la Mkapa Legacy 2022 linalofanyika visiwani Zanzibar, wakati wa mada ya Mageuzi ya kimkakati ya Afya nchini kupitia muungano wa biashara ya afya ( Accelerating strategic health transformation in Tanzania through business coalition for health) ambapo Vodacom Tanzania Foundation wanatoa huduma ya afya kupitia program za m-mama, fistula inatibika, wazazi nipendeni, washable sanitary pads pia wamedhamini kongamano hilo. Kulia ni Sarah Maongezi kutoka Taasisi ya Agakhan health services na muongoza mjadala Dkt. Faustine Ndugulile

Mama Anna Mkapa akiwa na mama Shadya Karume wakifuatilia mijadala mbalimbali iliyokuwa inaendelea kwenye kongamano la pili la Mkapa Legacy 2022



Makamu wa kwanza wa Rais Serikali ya mapinduzi Zanzibar, Othman Masoud akizungumza kwenye kongamano la pili la Benjamin Mkapa Foundation ( Mkapa Legacy 2022) liliofanyika kisiwani Zanzibar



Waziri wa Afya , Ummy Mwalimu akizungumza kwenye kongamano la pili la Mkapa Legacy 2022 liliofanyika kisiwani Zanzibar


Afisa Mtendaji Mkuu wa Benjamin Mkapa Foundation, Dkt. Ellen Senkoro akizungumza kwenye kongamano la pili la Mkapa Legacy 2022




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...