


Makamu wa kwanza wa Rais Serikali ya mapinduzi Zanzibar, Othman Masoud akizungumza kwenye kongamano la pili la Benjamin Mkapa Foundation ( Mkapa Legacy 2022) liliofanyika kisiwani Zanzibar

Waziri wa Afya , Ummy Mwalimu akizungumza kwenye kongamano la pili la Mkapa Legacy 2022 liliofanyika kisiwani Zanzibar

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benjamin Mkapa Foundation, Dkt. Ellen Senkoro akizungumza kwenye kongamano la pili la Mkapa Legacy 2022

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...