.jpeg)
Utoaji huo wa elimu ulilenga kuwapa uelewa watumishi kuhusu Muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa wote ili wawe mabalozi wazuri katika kuelimisha makundi mbalimbali ya Jamii.
Muswada huo unatarajiwa kuwasilishwa Bungeni mwezi Februari mwaka huu.
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) Prof. Said Aboud (aliyeketi katikati) akijibu maswali ya Watumishi wakati wa mkutano wa utoaji elimu kwa watumishi kuhusu Muswada wa Sheria ya Bima ya Afya Kwa Wote uliofanyika Januari 24, 2023 NIMR makao makuu, jijini Dar es Salaam.
.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...