Meneja wa Tanzania Commerical Bank Plc, Tawi la Newala Mkoa wa Mtwara Bw.Alex Minai (wapili Kushoto) akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 100 ya Saruji kwa Mbunge wa jimbo la Newala Mhe. George Huruma Mkuchika iliyotolewa na Benki hiyo kwaajili ya kusaidia ujenzi wa ukuta wa chuo cha Uuguzi na Ukunga hii ni kampeni ya Benki ya TCB kuunga mkono juhudi za Serikali hususani Sekta ya Afya ili kuondoa changamoto zilizopo. Wengine pichani ni maofisa kutoka Chuoni hapo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...