Rais wa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi cheti na Sh. milioni tatu mfanyakazi bora wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mose Melele huku Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishuhudia katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ziliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini, Morogoro, Mei 1, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...