Rais wa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi cheti na Sh. milioni tatu mfanyakazi bora wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mose Melele huku Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishuhudia katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ziliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini, Morogoro, Mei 1, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...