Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar uuhu Dkt. Hussein Ali Mwinyi akikabidhi tunzo ya mshindi wa kwanza  katika ubunifu katika biashara Mwakilishi wa Afisa Mtendaji Mkuu wa BRELA Andrew Mkapa  wakati wa ufungaji kilele cha Maonesho ya 47 ya Biashara Kimataifa Dar es Salaam (DITF) katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt Hussein Mwinyi,  akipata maelezo ya namna Mfumo wa usajili kwa Njia ya Mtandao (ORS) inavyofanya kazi. Maelezo hayo aliyapata kutoka kwa Bw. Andrew Mkapa, aliyemwakilisha Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili na Biashara Leseni (BRELA) alipotembelea  banda la BRELA kwenye Maonesho ya 47 Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam leo tarehe 13 Julai, 2023 alipofunga maonesho hayo.
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt Hussein Mwinyi,  akipata maelezo ya namna Mfumo wa usajili kwa Njia ya Mtandao (ORS) haupo pichani  unavyofanya kazi. Maelezo hayo aliyapata kutoka kwa Bw. Andrew Mkapa, aliyemwakilisha Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili na Biashara Leseni (BRELA) alipotembelea  banda la BRELA kwenye Maonesho ya 47 Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam leo tarehe 13 Julai, 2023 alipofunga maonesho hayo.
Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi Bi Maria akipokea mfuko  kutoka Mwakilishi wa Afisa Mtendaji Mkuu wa BRELA Andrew Mkapa wakati walipotembelea banda la BRELA  kwenye kilele cha Maonesho ya 47 ya Biashara Kimataifa Dar es Salaam (DITF) katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt Hussein Mwinyi,  akimkabidhi kijana leseni ya biashara iliyotolewa na  BRELA   alipotembelea  banda la kwenye Maonesho ya 47 Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...