Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi akikabidhi tunzo kwa mshindi wa kwanza katika kundi la Bima kwa Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano Karimu Meshack wja ubunifu katika Wakati wa ufungaji kilele cha Maonesho ya 47 ya Biashara Kimataifa Dar es Salaam (DITF) katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa NIC Insurance Karimu Meshack akiwa na Tunzo mara baada ya kukabidhiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi kwenye kilele cha ufungaji wa Maonesho ya Biashara  Kimataifa Dar es Salaam (DITF) yaliyokuwa yakifanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Sabasaba jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa NIC Insurance Karmu Meshack (mwenye suti ) wakifurahi na Timu ya wafanyakazi wa NIC Insurance mara baada ya kuibuka washindi katika waonyeshaji wa Bima katika  maonesho ya 47 ya Biashara Kimataifa Dar es Salaam (DITF) Sabasaba  jijini Dar es Salaam.

Wafanyakazi wa NIC Insurace  wakifurahia baada kuibuka washindi katika maonesho ya Sabasaba jijinj Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...