Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao (MOM) imeendelea kupokea maombi mengi kutoka kila pande ya Tanzania kutoka kwa ndugu zetu wenye uhitaji wa Baiskeli hizi.

Kama Taasisi, tunapenda kutoa shukran zetu za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wasanii na Wadau mbalimbali wapenda maendeleo kwa kuhakikisha kwamba Taasisi inatimiza kile tulichoagizwa na kuelekezwa kufanya.

"Na leo hii, Baiskeli hii ya Mama imefika Wilayani Same, na tuna nia ya dhati kuhakikisha tunasaidia ndugu zetu wengi zaidi wenye uhitaji'',alisema Mwenyekiti wa Taasisi hiyo almaarufu Steve Nyerere.


@ikulu_mawasiliano

@samia_suluhu_hassan

@warsam85

@stevenyerere2

@monalisatz

@mamaongeanamwanao2021

@msemajimkuuwaserikali





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...