Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 17 Juni, 2024 amewasili Hanang Mkoani Manyara kushiriki mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Dkt. Shogo Mlozi, aliyefariki Dunia tarehe 13 Juni, 2024

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...