Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni jijini Dodoma leo tarehe 03 Juni, 2024. Leo Mhe. Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Maonesho ya Wiki ya Mazingira Duniani.
.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akizungumza na Naibu Waziri wake Mhe. Khamis Hamza Khamis wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni jijini Dodoma leo tarehe 03 Juni, 2024.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...