Ajali ya moto imetokea katika eneo la Sinza Superstar, barabara ya Sam Nujoma Jijini Dar es Salaam ikihusisha gari aina ya Toyota Vanguard lenye namba za usajili DTG 215.

Kwa maelezo kutoka kwa mnusurika wa ajali hiyo ambaye ni mmiliki wa gari hilo, moto ulianza kwenye boneti ya gari na haraka ulienea. 

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lilifika eneo la tukio mara baada ya kupokea taarifa, lakini licha ya juhudi zao, hawakuweza kuokoa gari hilo.

Hakuna taarifa ya watu kujeruhiwa vibaya au vifo katika tukio hili. Hali ya mnusurika ni shwari.






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...