Mkoa wa Geita leo September mosi umepokea mwenge wa uhuru ukitokea mkoani Mwanza ambapo unatarajiwa kukimbizwa kwa umbali wa km653 za halmashauri 6 za mkoa wa Geita.

Akipokea mwenge huo Mkuu wa mkoa wa Geita Martin Shigela amesema kuwa Jumla ya halmashauri 6 za mkoa wa Geita zitapitiwa na mwenge huo huku jumla ya miradi 61 yenye thamani ya shilingi bilioni 164,427,000.

Mwenge wa uhuru umepokelewa katika halmashauri ya wilaya ya Geita ambapo utapita katika miradi 9 yenye thamani ya shilingi bilioni 2.8 na kukimbizwa kwa umbali wa km 85.

Mwenge wa uhuru mwaka 2025 unasindikizwa na kauli mbiu ya 

"Jitokeze kushiriki uchaguzi mkuu 2025 kwa amani na utulivu


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...